Jizatiti Katika Kiswahili

Sh15,000

JIZATITI KATIKA KSWAHILI Na Hamza F. Napunda

JIZATITI KATIKA KISWAHILI: Ni kitabu kilichoandaliwa mahsusi kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la V, VI, na VII, pamoja na walimu wanaofundisha madarasa hayo. Aidha kitabu hiki pia kinafaa sana kwa wazazi na walezi wenye tabia ya kufuatilia na kuwasaidia watoto wao kitaaluma.

JIZATITI KATIKA KISWAHILI: Kimetungwa kwa kuzingatia mtaala mpya wa somo la Kiswahili Tanzania. Kitabu hiki kimeandaliwa ili kiwe msaada kwa walimu na wanafunzi wa shule za msingi, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakipata ugumu katika ufundishaji na ujifunzaji wa somo la Kiswahili; hali ambayo imepelekea wanafunzi kupata matokeo yasiyoridhisha katika mtihani wa kumaliza elimu ya msingi, kinyume kabisa na matarajio ya wengi.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Jizatiti Katika Kiswahili”

Your email address will not be published. Required fields are marked *