JUMUIYA NDOGONDOGO ZA KIKRISTO

Sh6,000

Na Padre. Leodegard Massawe

JUMUIYA NDOGONDOGO ZA KIKRISTO: Kitabu hiki kina maelezo mafupi ya kuishi na kuimarisha Jumuiya Ndogo Ndogo za Kikristo, pamoja na ibada mbalimbali za Jumuiya. 

Kitabu hiki kinaeleza mambo mbalimbali ya kutusaidia kuishi katika Jumuiya ili tuziimarishe daima. Tutambue wazi kuwa Unjilishaji wa kina unadai daima tuishi na tuimarishe jumuiya Ndogo ndogo za Kikristo.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “JUMUIYA NDOGONDOGO ZA KIKRISTO”

Your email address will not be published. Required fields are marked *