TEMBEA NA KRISTO

Sh7,000

TEMBEA NA KRISTO: KITABU CHA MWANAFUNZI chenye Muhtasari wa mafundisho ya Kipaimara.

Kilichoandaliwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania.

Yaliyomo katika kitabu hiki yameandaliwa baada ya utafiti na hekima nzuri kwa manufaa ya kila mwanafunzi. Yanakusudia kumsaidai mwanafunzi wa kipaimara kumfahamu Mungu Baba na Mwana na Roho Mtakatifu aliye sauti ya vitu vyote, mtunzaji, Mwokozi na kiongozi wa kila siku wa mwanadamu. Wanafunzi watafahamu kuwa Yesu ni Mwokozi wa watu wote wamjiao na Roho Mtakatifu ndiye atuongozaye na kutupa ushindi maishani. Mafundisho ya muhtasari wa kitabu hiki yakipokelewa rohoni yataleta ujuzi wa mapenzi ya Mungu kwa mwnafunzi na kujenga imara imani yake inayomletea matumaini ya wokovu.

TEMBEA NA KRISTO Kimetolewa na Idara ya Misioni na Uinjilisti, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania S.L.P 3033, Arusha , Tanzania.

Product Details
Cover: Yellow
Print Length: 158 pages
Publisher: Moshi Lutheran Printing Press
Language: Swahili
ISBN 9987-652-03-4

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “TEMBEA NA KRISTO”

Your email address will not be published. Required fields are marked *