TUMWABUDU MUNGU WETU

Sh15,000

Msifuni Mungu, Mfalme wa Mbingu na Nchi

Kitabu hiki hutumika katika ibada takatifu; kanisani na Nyumbani; kwenye ibada za nyumba kwa nyumba, shule ya Jumapili kwa watoto, Kipaimara, UKWATA, Mikutano ya Vijana na Kwenye Mikutano ya mitaa, sharika na popote walipokusanyika wakristo kwa masomo ya Bibilia na mikutano kwa ajili ya kumwabudu Mungu.

 NB:
Kurasa: 516
Lugha: Swahili
ISBN 9987-652-08-5

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “TUMWABUDU MUNGU WETU”

Your email address will not be published. Required fields are marked *